Back to home
Wafanyabiashara wadogo wa kigeni Nairobi waingiwa na hofu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2026
2h ago
Wafanyabiashara wadogo wa kigeni jijini Nairobi wameingiwa na hofu huku maduka na vibanda kadhaa vikifungwa. Raia hao wana wasiwasi kuhusu agizo la Rais William Ruto.
Advertisement
Advertisement





