Back to home
Zaidi ya magari 50 yateketea katika moto Kilimani
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2026
2h ago
Zaidi ya magari 50 yameteketea katika karakana tatu eneo la Kilimani, Nairobi, katika moto uliotokea usiku wa kuamkia leo. Polisi wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.
Advertisement
Advertisement





