Back to home
Viongozi waunga mkono serikali wampigia debe Ruto Ukambani
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2026
1h ago
Viongozi wanaounga mkono serikali wameanza kumpigia debe Rais William Ruto Ukambani. Kiongozi Kaki amesema Ruto anahitaji muda zaidi kukamilisha miradi ya maendeleo
Advertisement
Advertisement





