Back to home
Sherehe za Chenda Chenda zitafanyika Septemba 9 katika Kaya Kauma, Kilifi.
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Sherehe za Chenda Chenda zitafanyika Septemba 9 katika Kaya Kauma, Kilifi. Wazee wa kaya wamewaonya wanasiasa dhidi ya kuingilia sherehe hizo zinazolenga kutambua mashujaa na kuenzi utamaduni wa Wamijikenda.
Advertisement
Advertisement









![| JUKWAA LA AFYA | Ulemavu wa Kutosikia [Part 1]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-JUKWAA-LA-AFYA-U_1788945611-16x9.jpg)