Back to home
Mradi wa Mwache wachochea ujenzi wa mabwawa madogo 16
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Mradi wa Bwawa la Mwache umechochea mipango ya kujenga mabwawa madogo 16 katika eneo hilo, huku takriban wakazi 35,000 wanatarajiwa kunufaika na usambazaji wa maji Kasezeni na Mwavumbo.
Advertisement
Advertisement
