Back to home

Maambukizi mapya ya virusi vya HIV yapungua kwa asilimia 82 katika kipindi cha miaka kumi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 9, 2026
3h ago
Maambukizi mapya ya virusi vya HIV yamepungua kwa asilimia 82 katika kipindi cha miaka kumi, kutoka 77,647 mwaka 2015 hadi 13,936 mwaka 2025. Hii ni kulingana na Baraza la Kitaifa la Kudhibiti Maradhi ya Kuambukizana. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news tod
Advertisement