Back to home
Wanafunzi 300 wa Olubi wakabiliwa na uhaba wa madarasa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Ni ndoto ya kila mzazi kumuona mwanawe akisoma katika mazingira bora na salama. Hata hivyo, kwa zaidi ya wanafunzi 300 wa Shule ya Msingi ya Olubi kaunti ya Kajiado, ndoto hiyo bado iko mbali kutimia kwani shule hiyo ina majengo mawili na madarasa manne pekee. Madarasa haya hayat
Advertisement
Advertisement





