Back to home
NCCK yakashifu uhasama dhidi ya wageni nchini
video
C
Citizen TV (Youtube)September 10, 2026
1h ago
Baraza la Kitaifa la Makanisa Kenya (NCCK) limekashifu uhasama dhidi ya wageni nchini. NCCK imesema ni kosa kubwa kuvamia biashara zinazomilikiwa na raia wa kigeni.
Advertisement
Advertisement





