Back to home

Wakazi Cherangani waeleza hofu ya kuzuka kwa machafuko kutokana na mzozo wa umiliki wa ardhi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 10, 2026
3h ago
Wakazi wa eneo bunge la Cherangani, Kaunti ya Trans Nzoia, wameeleza hofu ya kuzuka kwa machafuko kutokana na mzozo wa umiliki wa ardhi ambao umedumu kwa zaidi ya miaka 20. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the K
Advertisement