Back to home

Sifuna afanya mazungumzo na Kalonzo Musyoka na Fred Matiang’i

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 10, 2026
1h ago
Tafuta-tafuta za umoja wa upinzani kabla ya uchaguzi wa mwaka 2027 sasa zimeingia awamu nyeti. Edwin Sifuna leo amefanya mazungumzo tofauti na kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka na naibu kinara wa Jubilee Fred Matiang’i, kabla ya viongozi wa vyama vya upinzani kujitokeza pamoja
Advertisement