Back to home
Kituo cha kidijitali chafunguliwa Maralal, Samburu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2026
2h ago
Kituo cha kidijitali kimefunguliwa Maralal, Samburu, kwa lengo la kuwapa vijana ujuzi wa kutumia teknolojia na mtandao. Vijana wanatarajiwa kutumia ujuzi huo kubuni fursa za ajira.
Advertisement
Advertisement

