Back to home

Kituo cha kidijitali chafunguliwa Maralal, Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2026
2h ago
Kituo cha kidijitali kimefunguliwa Maralal, Samburu, kwa lengo la kuwapa vijana ujuzi wa kutumia teknolojia na mtandao. Vijana wanatarajiwa kutumia ujuzi huo kubuni fursa za ajira.
Advertisement