Back to home

Wakazi walalamikia ubovu wa barabara ya Ndurio-Kapkolei

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2026
2h ago
Wakazi wa Ndurio kaunti ya Nandi waandamana kulalamikia hali mbaya ya barabara ya Ndurio-Kapkolei, eneo bunge la Aldai, wakisema ubovu wake unawaathiri katika shughuli zao za kila siku na usafiri.
Advertisement