Back to home
UDA Lamu yawataka wanachama kujitokeza kwa wingi kwenye uchaguzi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2026
1h ago
Uchaguzi wa viongozi wa chama cha UDA katika Kaunti ya Lamu unatarajiwa kufanyika kesho. Viongozi wamewarai wanachama kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi huo.
Advertisement
Advertisement





