Back to home

Ujenzi wa nyumba za bei nafuu Makueni wachelewa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2026
1h ago
Ujenzi wa nyumba za bei nafuu Makueni uliotarajiwa kukamilika mwezi Novemba umechelewa. Mshirikishi wa serikali Jacob Muganda amemlaumu mkandarasi kwa kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo.
Advertisement