Back to home
Ujenzi wa nyumba za bei nafuu Makueni wachelewa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2026
1h ago
Ujenzi wa nyumba za bei nafuu Makueni uliotarajiwa kukamilika mwezi Novemba umechelewa. Mshirikishi wa serikali Jacob Muganda amemlaumu mkandarasi kwa kuchelewesha kukamilika kwa mradi huo.
Advertisement
Advertisement




![| Shajara na Lulu | Simulizi ya Martha Nyawira: Anasema mama yake alimuingiza katika Ukahaba[Part 2]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-Shajara-na-Lulu-_1789119203-16x9.jpg)
