Back to home

Busia: Hofu yatanda miongoni mwa wafanyabiashara baada ya wahuni kuvamia Soko la Posta

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 11, 2026
1h ago
Hofu imetanda miongoni mwa wafanyabiashara katika Soko la Posta mjini Busia baada ya wahuni waliokuwa wamejihami na rungu kuwavamia jioni ya Jumatano kisha kuwapiga watu kadhaa huku wafanyabiashara hao wakiilaumu idara ya usalama kwa kufumbia macho swala hilo. Subscribe and watc
Advertisement