Back to home
Ruto asema hajakopa kupita kiasi tangu aingie madarakani
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2026
1h ago
Rais William Ruto sasa anasema hajakopa kupita kiasi tangu achukue hatamu za uongozi.
Kiongozi huyo wa taifa anasema ndiye amekopa kiwango cha chini zaidi cha fedha tangu alipochukua hatamu za uongozi miaka minne iliyopita.
Hata hivyo, deni la taifa limeongezeka kutoka shilingi
Advertisement
Advertisement





