Back to home
Timu ya wasioona yanoa makali yake wakijiandaa kushiriki katika mashindano ya unyanyua uzani
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 11, 2026
2h ago
Nahodha wa timu ya wasioona, Philis Wanjiru, ni mwingi wa imani kwamba Kenya itang'aa katika mashindano ya unyanyua uzani ambayo yatafanyika Uturuki kati ya Oktoba tarehe 28 na Novemba tarehe 7 mwaka huu.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd
Advertisement
Advertisement





