Back to home

Ruto: Kenya iko wazi kwa wageni wanaotaka kufanya biashara

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 12, 2026
1h ago
Rais William Ruto amesema kuwa Kenya iko wazi kwa wageni wote wanaotaka kufanya biashara na kuwekeza. Akizungumza katika kaunti ya Bomet, Rais Ruto amewaonya wakenya dhidi ya kuchukua sheria mkononi na kuwafurusha wageni.
Advertisement