Back to home

Hassan Omar akosolewa kwa matamshi kuhusu usajili wa wafu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 12, 2026
1h ago
Katibu Mkuu wa chama cha UDA Hassan Omar amejipata pabaya kufuatia matamshi yake ya kurupuka yaliyoashiria njama ya wizi wa kura kupitia usajili wa wafu. Omar aliyetoa matamshi hayo Mombasa amekashifiwa vikali na wanasiasa kutoka chama chake cha UDA na upinzani akitakiwa kupima m
Advertisement