Back to home

Ruto akosoa upinzani, aanza ziara ya siku tano Nyanza

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 13, 2026
2h ago
Rais William Ruto ameendelea kukosoa kile alichokiita siasa duni za upinzani, huku akianza ziara ya siku tano katika maeneo ya Nyanza. Rais ameuza sera na miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 700, ambayo amesema atahakikisha inakamilishwa, kama alivyoku
Advertisement