Back to home
Mwanabodaboda auawa kwa kupigwa risasi Kibwezi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
1h ago
Mhudumu wa bodaboda ameuawa kwa kupigwa risasi eneo la Kibwezi. Wakazi wamelalamikia kuongezeka kwa visa vya uhalifu, huku washukiwa wakidaiwa pia kuiba pikipiki ya marehemu.
Advertisement
Advertisement


