Back to home

Wanasiasa wa kundi la linda mwananchi wafanya mikutano Nairobi, mamia wajitokeza

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 14, 2026
2h ago
Wanasiasa wamefanya mikutano katika maeneo mbalimbali ya Nairobi, huku mkutano mkuu ukiandaliwa katika Uwanja wa Jacaranda. Sifuna na Orengo wamesema mgombea mmoja atateuliwa, huku mamia ya wakazi wakijitokeza kushiriki shughuli hizo.
Advertisement