Back to home
Wanasiasa wa kundi la linda mwananchi wafanya mikutano Nairobi, mamia wajitokeza
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
2h ago
Wanasiasa wamefanya mikutano katika maeneo mbalimbali ya Nairobi, huku mkutano mkuu ukiandaliwa katika Uwanja wa Jacaranda. Sifuna na Orengo wamesema mgombea mmoja atateuliwa, huku mamia ya wakazi wakijitokeza kushiriki shughuli hizo.
Advertisement
Advertisement





