Back to home
Mudavadi amkosoa Hassan Omar kwa matamshi ya kuchochea
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
1h ago
Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi ameendelea kumkosoa Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, kufuatia matamshi yake anayosema ni ya kuchochea na kuibua taharuki.
Omar, ambaye alisema hata waliofariki watasajiliwa kuwa wapiga kura, pia amekosolewa na Tume ya Uchaguzi, IEBC, ambayo imese
Advertisement
Advertisement





