Back to home
Familia ya Seme yaomboleza vifo vya jamaa watano katika ajali ya Gilgil
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
1h ago
Familia moja kutoka eneo la Seme, Kaunti ya Kisumu, inaomboleza vifo vya jamaa zao watano waliofariki katika ajali ya barabarani walipokuwa wakirejea Nairobi kutoka mazishini. Ajali hiyo ilitokea jana usiku katika eneo la Kikopey, Gilgil, Kaunti ya Nakuru.
Advertisement
Advertisement





