Back to home
Wakazi walalamikia kuongezeka kwa wizi wa mabavu Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2026
1h ago
Visa vya wizi wa mabavu vimeripotiwa katika maeneo kadhaa ya Nairobi. Baadhi ya wakazi wa Parklands na maeneo ya Thika Road wameeleza jinsi walivyovamiwa na kuibiwa, huku hofu ya usalama ikiendelea kuongezeka.
Advertisement
Advertisement





