Back to home
Wakaazi wa Makueni watakiwa kuhifadhi Mlima Chyulu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2026
1h ago
Wakazi wanaopakana na mbuga ya kitaifa ya chyulu huko Kibwezi kaunti ya Makueni wametakiwa kutunza mlima huo kwani unasaidia pakubwa kuimarisha mazingira kwenye eneo hilo .
Advertisement
Advertisement




