Back to home

Ruto: Nitakabiliana na upinzani debani 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 15, 2026
1h ago
Rais William Ruto amewarai wakenya kuwapuuza viongozi wa upinzani, akisema wanawachezea mchezo wa pata potea. akizungumza katika ziara yake ya kaunti ya Siaya, rais William Ruto amesema yuko tayari kukabiliana na upinzani debeni katika uchaguzi mkuu ujao.
Advertisement