Back to home
Wadau wataka usawa katika mfumo mpya wa ufadhili wa masomo
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2026
2h ago
Wadau katika sekta ya elimu wanashinikiza kuwepo kwa usawa katika mfumo mpya wa ufadhili wa masomo nchini.
Wakizungumza katika vikao vya umma vilivyoanza rasmi Mombasa na Trans-Nzoia, wadau hao wamewataka wanasiasa kukoma kuingilia sekta ya elimu, wakilaumu mwingilio huo kwa kud
Advertisement
Advertisement




