Back to home

Viongozi wa Dini Waongoza Maombi Kufuatia Ajali Nyahururu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2026
1h ago
Viongozi wa dini kutoka mji wa Nyahururu katika Kaunti ya Laikipia wamefanya maombi ya pamoja ya madhehebu mbalimbali kando ya barabara kuu mjini humo na maeneo jirani, kutokana na ongezeko la ajali .
Advertisement