Back to home
Ruto Azindua Miradi ya Maendeleo Katika Kaunti ya Migori
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
1h ago
Rais William Ruto anaendelea na ziara yake eneo la Nyanza kwa siku ya nne hii leo.
Mapema Jumatano kiongozi wa taifa alianza ziara yake kule maeneo ya Awendo Kaunti ya Migori alikozindua mradi wa ujenzi wa barabara ya Kanyawanga- Kuoyo- Madiaba itakayo gharimu kitita cha ksh 2.2B
Advertisement
Advertisement





