Back to home
Serikali Kukata Rufaa Dhidi ya Uamuzi wa Mahakama Kuhusu Hisa za Safaricom
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
45m ago
Waziri wa hazina ya kitaifa John Mbadi amesisitiza kwamba pendekezo la uuzaji wa hisa asilimia 15 za serikali kutoka kampuni ya Safaricom lilifanywa kulingana na sheria. Akihutubia wanahabari mjini Kisumu mapema leo, Mbadi alisema kwamba serikali itakata rufaa dhidi ya uamuzi wa
Advertisement
Advertisement





