Back to home

Mahakama Kuu yakataa kusitisha sherehe za mahafali ya Septemba 26 ya Chuo Kikuu cha USIU-Africa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 16, 2026
3h ago
Mahakama Kuu imekataa kusitisha sherehe za mahafali ya Septemba 26 ya Chuo Kikuu cha USIU-Africa kufuatia kesi iliyowasilishwa na Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Gilbert Masengeli. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans.
Advertisement