Back to home

KALRO yaeneza maharagwe yenye madini ya chuma kwa wingi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 16, 2026
2h ago
Kwa miaka mingi, wakulima wamekuwa wakitumia mbegu za maharagwe zilizohifadhiwa kutoka mavuno ya awali, hali ambayo mara nyingi imechangia uzalishaji mdogo, huku upungufu wa madini ya chuma ukiendelea kuwa changamoto ya lishe. Watafiti wa KALRO katika Kaunti ya Trans-Nzoia sasa
Advertisement