Back to home
KALRO yaeneza maharagwe yenye madini ya chuma kwa wingi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2026
2h ago
Kwa miaka mingi, wakulima wamekuwa wakitumia mbegu za maharagwe zilizohifadhiwa kutoka mavuno ya awali, hali ambayo mara nyingi imechangia uzalishaji mdogo, huku upungufu wa madini ya chuma ukiendelea kuwa changamoto ya lishe.
Watafiti wa KALRO katika Kaunti ya Trans-Nzoia sasa
Advertisement
Advertisement




