Back to home

Walimu na familia waandamana Kericho kufuatia Mauaji ya Martina Chepkemoi Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 17, 2026
1h ago
Walimu pamoja na familia ya mwalimu aliyeuawa walifanya maandamano katika Kaunti ya Kericho wakiwataka polisi kuwajibika na kuwapa haki. Mwili wa mwalimu huyo, Martina Chepkemoi Ruto, ulipatikana umetupwa mtoni baada ya kuuwawa kwa kudungwa kisu.
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play