Back to home

Wanachama wa UDA mlima Elgon wataka mkutano wa uhamasishaji

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 17, 2026
2h ago
Wafuasi wa chama cha UDA katika eneo bunge la Mlima Elgon, kaunti ya Bungoma, wameitaka bodi ya uchaguzi ya chama hicho kuandaa mkutano mwingine wa kuhamasisha wajumbe kabla ya uchaguzi wa chama unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 mwezi huu.
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play