Back to home

Wazee Kajiado kusini waongoza mapambano dhidi ya mila potovu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 17, 2026
2h ago
Mila potovu kama ukeketaji, ndoa za utotoni na mimba za mapema zimeendelea kuwa kikwazo kwa elimu na maendeleo ya watoto wa kike katika katika kaunti ya kajiado hasa maeneo ya mpakani kati ya Kenya na Tanzania. Sasa wazee, wamechukua jukumu la kupambana na mila hiyo potovu.
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play