Back to home
Kanja kuamriwa kufika kortini kwa kutotii amri
video
C
Citizen TV (Youtube)September 17, 2026
2h ago
Mahakama imemuamuru Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kufika mahakamani tarehe 28 ya mwezi huu ili kuhukumiwa kwa kukosa kufuata amri ya mahakama.
Hatua hiyo imechukuliwa baada ya idara ya polisi kupatikana na hatia ya kuweka vizuizi barabarani jijini Nairobi wakati wa


The Online Kenyan Android App
Take Kenya's news with you
Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.
Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play













