Back to home

Mchezo wa Anza MMA pro nights 3 kufanyika kesho Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2026
1h ago
Wapenzi wa mchezo wa karate wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake Jumamosi katika ukumbi wa Village Market, Nairobi, kuanzia saa kumi na mbili jioni katika mgaragazano wa ANZA MMA Pro Nights 3. Wapiganaji 16 watashiriki katika mapambano manane, wakiwakilisha mataifa sita ya A
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play