Back to home

Wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wataka kuungwa mkono Nyamira katika uongozi.

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2026
2h ago
Vijana, kina mama na walemavu katika kaunti ya Nyamira kwa ushirikiano na tume ya jinsia na usawa nchini wameomba uungwaji mkono katika jitihada za kuwania nyadhifa za uongozi katika eneo hilo.
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play