Back to home

Familia Mombasa yamtafuta mtoto wa miaka 12 aliyetoweka

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2026
1h ago
Familia moja huko Mshomoroni, kaunti ya Mombasa, inamtafuta mtoto wa miaka 12 ambaye ametoweka kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa. Inadaiwa Lucas Orina alikuwa akicheza na wenzake nje ya nyumba yao kabla ya kutoweka. Kisa kingine cha mwanafunzi wa Gredi ya Kumi kupotea pia kimeripot
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play