Back to home

Ruto awaonya wanasiasa dhidi ya kutumia polisi kisiasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 18, 2026
1h ago
Rais William Ruto amewaonya wanasiasa dhidi ya kuwahusisha polisi na asasi za usalama katika siasa, akisema idara hizo zinafaa kulinda demokrasia na haki za wananchi kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027. Akizungumza alipokuwa akiongoza sherehe ya 50 ya kufuzu kwa makurutu wa GSU katik
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play