Back to home

Polisi wachunguza kutoweka kwa mwanamke Cherangany

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 20, 2026
1h ago
Polisi eneo la Cherangany kaunti ya Trans Nzoia wanachunguza kisa cha kutoweka kwa mwanamke pamoja na bunduki la mfanyabiashara ambaye ni mumewe mwanamke huyo. Lily Cherono Kimtai mwenye umri wa miaka 53 alitoweka kwa mazingira tata nyumbani siku 12 zilizopita. Mumewe Michael Kim
The Online Kenyan Android App

Take Kenya's news with you

Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.

Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play