Back to homeWatch Original
Wawakilishi wadi katika kaunti ya Kilifi wamtaka rais Ruto kutia sahihi sheria ya mamlaka
video
May 16, 2025
23 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wawakilishi wadi katika kaunti ya Kilifi Sasa wanamtaka rais William Ruto kutia sahihi mswada uliopitishwa na bunge la Seneti unaowapa uhuru wa kutekeleza majukumu yao bila kuingiliwa na serikali kuu...