Mashindano ya tenisi Nairobi: Wachezaji washiriki michuano ya J30
About this video
Mashindano ya ITF J30 Nairobi yaliendelea katika Klabu ya Michezo ya Parklands huku wachezaji kumi wakifuzu kwa raundi ya pili katika kipengele cha vijana wa kiume kwenye mchezo wa single. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ke..