Back to home

Wakuu wa usalama Afrika wakutana Kigali kutathmini mikakati ya kudhibiti mitandao

video
May 21, 2025
18 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Suala la uhalifu mitandaoni linazidi kuzuia taharuki katika sekta ya usalama huku wakuu wa usalama afrika wakikutana mjini Kigali nchini Rwanda kutathmini mikakati ya kudhibiti tishio hilo. Collins Shitiabayi anahudhuria kongamano la usalama barani afrika na hii hapa taarifa yake..