Back to home
Wakuu wa usalama Afrika wakutana Kigali kutathmini mikakati ya kudhibiti mitandao
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2025
11mo ago
Suala la uhalifu mitandaoni linazidi kuzuia taharuki katika sekta ya usalama huku wakuu wa usalama afrika wakikutana mjini Kigali nchini Rwanda kutathmini mikakati ya kudhibiti tishio hilo. Collins Shitiabayi anahudhuria kongamano la usalama barani afrika na hii hapa taarifa yake
Advertisement
Advertisement





