Back to home
Wakazi wa Malindi wakutana na kupanga mikakati ya kumaliza uraibu wa dawa za kulevy
video
C
Citizen TV (Youtube)March 26, 2026
2h ago
Wakazi wa Malindi Kaunti ya Kilifi wameandaa mkutano unaoongozwa na wazee kutoka maeneo tofauti ili kutathmini changamoto zinazowakabili.
Mkutano huo umekua ukifanyika kila mwaka huku Malengo yakiwa kufahamu matatizo ya umma kama vile uhalifu , matumizi ya dawa za kulevya miongo
Advertisement
Advertisement





