Back to home

Wanafunzi waliokosa karo Lamu wahofiwa kuingia katika uraibu wa dawa za kulevya

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 24, 2026
2h ago
Matumizi ya dawa za kulevya, pamoja na tatizo la ukosefu wa fedha za karo, haswa kwa wanafunzi wa shule za upili na vyuo vikuu, ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazowakumba vijana katika kaunti ya Lamu. Wanafunzi wengi wanaotarajiwa kujiunga na shule za sekondari ya juu na vyuo
Advertisement