Back to home
Kaunti ya Murang'a yazindua mpango wa kupanda miti ya dawa na asili
video
C
Citizen TV (Youtube)March 25, 2026
2h ago
Kaunti ya Murang’a imezindua mpango mpya wa upanzi wa miti ya kiasili na ya dawa.
Mpango huu unalenga kulinda mazingira pamoja na kuhifadhi maarifa ya jadi kuhusu miti ya dawa. Shughuli hii imezinduliwa katika chuo cha ufundi cha Kahumbu ambapo ni moja wapoya vyuo vinavyotoa m
Advertisement
Advertisement





