Back to home

Waathiriwa wengi wa nasuri wasaidiwa katika kaunti ya Kisii

video
May 24, 2025
15 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Tatizo la nasuri ama fistula bado linaathiri maelfu ya wanawake nchini hasa vijijini, na kuwaacha wengi na majeraha ya kimwili na kisaikolojia. Licha ya kuwa hali hii inaweza kuepukika na kutibiwa, wengi huteseka kimya kimya kwa sababu ya unyanyapaa na ukosefu wa huduma za afya...