Back to homeWatch Original
Waathiriwa wengi wa nasuri wasaidiwa katika kaunti ya Kisii
video
May 24, 2025
15 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Tatizo la nasuri ama fistula bado linaathiri maelfu ya wanawake nchini hasa vijijini, na kuwaacha wengi na majeraha ya kimwili na kisaikolojia. Licha ya kuwa hali hii inaweza kuepukika na kutibiwa, wengi huteseka kimya kimya kwa sababu ya unyanyapaa na ukosefu wa huduma za afya...