Back to home

Kombe la Mozzartbet: Mabingwa wapya watarajiwa baada ya Kenya Police kubanduliwa

video
May 25, 2025
13 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kombe la Mozzartbet litakuwa na mabingwa wapya baada ya Kenya Police kubwagwa kwenye robo fainali na Mara Sugar huku Gor Mahia wakijikatia tiketi ya fainali kwa kushinda Murang'a Seal kwenye mikwaju ya penalty ugani Dandora. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news ..